WELL COME TO GOLD MEDIA GROUP

WELL COME TO GOLD MEDIA GROUP
FILM PRODUCTION

Translate / tafsiri

SUPPOTERS

JUKWAA HILI LINAHUSISHA WADAU WANGU WAKUBWA  AMBAO WANATOA MCHANGO WAO WA HALI NA MALI  KATIKA FILAMU ZOTE NILIZOFANIKIWA KUZIFANYA HAWA NDIO SABABU KUBWA YA MIMI NA CREW YETU NZIMA YA UANDAAJI WA FILAMU KUFIKA HAPA TULIPO AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO NAWASHUKURUNI SANA


ASELA MAGAKA  MUAANDAJI WA MISS SHINYANGA
IMAM MABROUK  KOCHA MKUU WA TIMU YA AMBASSADOR FC
MANAGER WA ROCKY POINT HOTEL
KUSHOTO , JOEL LUNYUNGU   AKIWA NA ERICK RWEHUMBIZA KUTOKA SHIRIKA LA FHI360
MR JOEL LUNYUNGU SITE CORDNATOR WA FHI360 KAHAMA
MHE, ELIASI NKWERA MFANYA BIASHARA MASHUHURI HAPA KAHAMA 






                                                   hapa tukiwa crew ya Gold film production 
                                                   nje ya ofisi ya mtendaji wa kijiji cha Mhongolo 
                                                   na hii ni picha pamoja na Mheshimiwa kalolo
                                                    watatu toka kulia   {waliosmama}

                          MR EMANUEL KALOLO Afisa mtendaji kata ya MHONGOLO  (w) KAHAMA




                                          MR IDRISA KAPALALA MKURUGENZI WA CHUO CHA  AFRIDOOR
                                          NA MILLENIUM INTERNET KILICHOPO KAHAMA MJINI MTAA WA 
                                          UHINDINI

                                                 


                           MR SALUM MFANYA BIASHARA Ambae amehakikisha hatupati taabu ya usafiri 
                           angalia picha ya chini mchuma wake huo VOX ndo unahakikisha tumefika kila sehemu




             MAGRET MLEKWA huyu ni mdau wangu mkubwa kuanzia magari nyumba na make up
             saloon yake iko mtaa wa nyihogo kahama mjini eneo la mnazi mmoja



                MR ZAWAD MASUD (kulia) akiwa na binti yake SHUFAA (katikati) pamoja na D.O.P
                DICKSON (man kiwango) katika studio ya PHOTOZONE PICTURE iliyopo
                KAHAMA ni wadau wangu wa nguvu pia














No comments: